13 Aprili 2025 - 15:58
Imam Khamenei afanya ziara muhimu ya kuonesha mafanikio ya sekta binafsi mjini Tehran

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei siku ya Jumanne amefanya ziara katika hafla iliyofanyika ili kuonesha mafanikio ya sekta binafsi.

Shirika la Habari la AhlulBayt (a.s) - ABNA-: Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah SAyyId Ali Khamenei Jumanne amefanya ziara katika hafla iliyofanyika ili kuonesha mafanikio ya sekta binafsi.

Tukio la kitaifa la uwezo na mafanikio ya sekta ya kibinafsi kwa jina "Pioneers of Progress / Waanzilishi wa Maendeleo" lilianza Jumanne asubuhi.

Kundi la wazalishaji na wanaharakati wa sekta za kibinafsi watakutana pia na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Hosseiniyyah ya Imam Khomeini Jumatano asubuhi.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha